Machapisho

TETESI ZA USAJILI AUGUST 9

Picha
 Mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 34, amepangwa kufanyiwa vipimo vya matibabu hii leo Jumatatu kabla ya kukamilisha uhamisho wa bure kwenda Paris St-Germain. (L'Equipe - in French)  Messi atazinduliwa kama mchezaji wa PSG kwenye hafla maalum katika Mnara wa Eiffel katika siku chache zijazo.(ESPN)  Barcelona wanajaribu kuzuia jaribio lolote la PSG kumsaini Messi kwa kufungua malalamiko kwa Tume ya Ulaya ikisema kilabu hiyo ya Ufaransa itakiuka sheria za matumizi ya fedha ikiwa watafanikiwa kumsajili Muargentina huyo. (Marca, in Spanish)  Tottenham ni miongoni mwa vilabu ambavyo vimejaribu kumsajili Messi baada ya Barca kusema hatosalia Nou Camp. (Express)  Arsenal iko tayari kufanya kufanya usajili wa beki wa Atletico Madrid Kieran Trippier kwani Manchester United imeshindwa kukubaliana ada na mabingwa wa Uhispania kwa mchezaji huyo wa England mwenye umri wa miaka 30. (Sun)  Kocha wa Roma, Jose Mourinho anataka sana kumsajili mshambuliaji wa Paris St-...

ALICHOONGEA MESSI LEO, KATIKA PRESS

Picha
 Messi: “ Nilishawishiwa kusalia hapa BARCELONA, Hapa ni nyumbani, nyumbani kwetu. Ilikua ni moja ya mikakati yangu ila leo nasema KWAHERI baada ya muda mrefu nkiwa hapa.  Kuhusu PSG niseme inawezekama, ila mpaka sasa hakuna chochote kilichokamilika wala kukamilika, Nimepokea na ninapokea simu nyingi baada ya BARCELONA kutoa statement yao, Ila bado tunaongelea kuhusu ilo,  Niliamini kila kitu kipo tayari na makubaliano yamemalizika ila chaajabu mwisho kabisa ikawa haiwezekani, ila ni kutokana na masuala ya LA LIGA  Siwezi nkaiongelea sana BARCA, Laporte alisema hawataweza kutokana na sheria za LA LIGA, Ila niseme nilifanya kila niwezavyo ili ingewezekana nibaki hapa  Nina huzuni saaana kwasababu sikuhitaji kuondika, naipenda BARCELONA nilihitaji nibaki na mkataba wangu ulikua tayari ila mwisho haikuwezekana japo nilifanya jitihada nyingi  Hiki ni kipindi kigumu kwangu hasa katika maisha yangu ya soka, nilikua nna mazito mengi, na matukio mengi magumu na men...

WALIOPANGIWA KIDATO CHA TANO, NA VYUO VYA KATI

Picha
 B HII ILI KUTAZAMA WALIOPANGIWA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI https://selform.tamisemi.go.tz/content/selection-and-allocation/ 🙏

EID MUBARAK

Picha
Salamu zangu za Eid  kwa waislam tuliomo humu Kwanza tunamshukuru Allah s.w kwa kutuwezesha kukamilisha ibada hii muhimu kwa wale tuliojaaliwa kukamilisha Na Allah awajaalie wale wote ambao kwa sababu mbalimbali hawakuikamilisha, InshaAllah Allah Awajaalie mwakani mwakani waikamilishe Usia wangu kwangu na kwenu sote tujitahidi kukamilisha Sitat shawal kwani mwenye kufanya hivyo atshesabiwa kuwa amefunga mwaka mzima MashaAllah Aidha leo si siku ya kufurahia hadi kumuaswi Allah tabaarak kwani mwenye kufanya hivyo atakua amemuaswi Allah mfano wa siku ya hesabu (Qiama) yaani mbele yake Allah s.w Kubwa zaidi tuyaenzi na tuyaishi yale maisha tuliyokuwa tukiishi ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhan kwani ndio maisha ambayo Allah s.w ameelekeza kuyaishi Ifahamike kuwa Ramadhani imeondoka lakini Allah s.w hajaondoka na yupo Tuwe wachaMungu na tufanye ibada ya *Swala tano* na ibada nyingine zilizofundishwa na fahamu kuwa kuacha swala kwa makusudi ni ukafiri ulio wazi kabisa *Tofauti ya muislam...

MATOKEO YA EPL LEO. ( MANCHESTER UNITED VS LIVERPOOL)

FULL TIME MANCHESTER UNITED 2 - 4 LIVERPOOL   

TAULO

 Dhumuni ya session hii ni kuhakikisha kufuta na kukuondoa uchovu wa kila siku kwa kukuletea maneno yatakayo kujenga na kuweka sawa mfumo mzima wa fikra na mawazo yako . katika taulo leo napena kukupa kitu ambacho naamini kita kujenga na kuweka sawa akili yako na kukupa tumaini jipya. DAIMA HATA IKITOKEA WATU WALIOKUZUNGUKA WOTE WAKAJITENGA NAWE, AMINI KUNA WATU MUNGU ATAWAANDAA ILI WAJEKUKUPA SUPPORT NA KUHAKIKISHA UNAKUA NA FURAHA TENA.                                                             NAKUPENDA SAANA